MAKAMBAKO смотреть последние обновления за сегодня на .
Katika kutimiza Agizo la Raisi Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe Samia Suluhu Hassan la kuwahamisha wafanyabiashara wadogo,kutoka maeneo yasiyo rasmi na kuwatengea maeneo rasmi,Halmashauri ya Mji Makambako imetenga maeneo makuu matatu:- 1. soko la maguvani 2. soko la magegele 3. vibanda vilivyopo katika kituo cha mabasi (stendi mpya) Lengo hasa ni kupangilia Mji na kufanya maboresho ya Mpangilio wa mji ili Kuvutia wawekezaji kwani Makambako ni lango kuu la uchuumi kwa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini Mwa Tanzania
MTUHUMIWA AFIKISHWA MAHAKAMANI. Mhakama ya hakimu mkazi mfawidhi wilaya ya Njombe imetaja shauri namba 5 la mwaka 2022 linalowakabili Daniel Mwilango na Nikson Nyamideko kwa tuhuma za mauaji ya aliyekuwa katibu wa halmashaurui ya welei kanisa la Romani katoliki Kigango cha Parokia ya Makambako. Akitaja shauri hilo namba 5 la mwaka 2022 Hakimu mkazi mfawidhi wilaya ya Njombe Matilda Kayombo amesema watuhumiwa Daniel Mwilango ambae ni katekista mika 42 kabila mbena akishirikiana na Nikson Nyamwideko miaka 23 kabila mbena wote wakiwa wakazi wa Njombe wanadaiwa kuhusika na mauaji ya Nikson Myamba siku ya tar.7 mwezi February mwaka huu. Wakili wa Serikali Magdalena Kisoka akisaidiwa na Paul Nyonyani amesema kosa wanalokabiliwa nalo ni Kinyume na kifungu namba 196 na 197 cha kanuni ya adhabu Sura ya 16 ya sheria ya mkosa ya jinai kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2019. Hata hivyo WaKILI Magdalena Kisoka amepanga tarehe 28 mwezi February kwaajili ya kutajwa tena shauri hilo kutokana na upelelezi wa shauri hilo. Watuhumiwa wamerejeshwa Rumande kutokana na kesi inayowakabili kutokuwa na dhamana. Ikumbukwe Nikson Nyamwideko na Daniel Mwilango wanashikiliwa kwa tuhuma za kuua na kasha kumkata kata vipande Nickson Myamba siku ya tarehe saba mwezi February mwaka huu katika mtaa wa Mangula Mjini Makambako.
*Follow B2k on* Facebook: 🤍 Instagram: 🤍 Youtube: 🤍 Asante kwa kutazama video zangu, Tafadhali subscribe.
SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU 🤍 INSTAGRAM 🤍 FACEBOOK 🤍 TWITTER 🤍
#spidi#sauli#buses#mbeya#makambako#Town#
Somewhere in Tanzania at Makambako town in Njombe region there is a place to visit. It's a Surprise Beach...! See it's beauty and other richness... © herie16m
Kwa hali hii corona inapitia wapi maana haya ni mazoezi tosha
#shorts Dunia yetu leo imeoza kwa sababu ya mambo mengi maovu yanayotendeka. kila kukicha maovu yanaongezeka, ni huzuni sana. Tumaini Kwaya imeona haya na kuleta habari hii kwa njia hii ya wimbo huu.
MBIO ZA MWENGE 2018 MJI MAKAMBAKO.
Mbatilo akiwa na kwaya ya upendo.... Uwata Makambako
#shorts Iweni watendaji wa neno,wala si wasikilizaji tu. Kutoka Tumaini kwaya,KKKT Makambako-Njombe
PICHA NA;MWINJILISTI DAVID MDOKE'
Halmashauri ya Mji wa Makambako Wilaya ya Njombe Mkoani Njombe inakusudia Kukusanya Bil 27,503,,230,500 huku ikikusudia Kutumia Kiasi cha Bil 27.5 Kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 katika Matumizi mbalimbali ndani ya Halmashauri Hiyo ambapo Inaelezwa Kuwa Bil 16.3 zitatumika kwaaajiri ya Mishahara Kwa Watumishina huku katika Shughuli za Kiutawala na Utendaji itatumia Bil 3.6 huku Matumizi Kwenye Miradi ya Maendeleo Halmashauri hiyo ikitarajia kitumia Bil. 7.5 Awali akisoma Taarifa Hiyo katika kikao cha Ushauri DCC Kamimu Afisa Mipango na Uratibu Halmashauri ya Mji wa Makambako Inglibert Kindiba Ameeleza namna Halmahauri Hiyo Ilivyojipanga Kutekeleza Miradi Mbali mbali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024
This is #MAKAMBAKOCYPHER Vol.01, Episode 02... . Artists Involved; 🤍Don_14 🤍owenyflowkiller 🤍Felix_dizorro 🤍youngstashon 🤍Ppt_pembuz 🤍Vasco_rhymes 🤍Martin_kubanda and 🤍t_gwan . Produced by 🤍mkwizu_official Under; 🤍malengouniverse . Director; 🤍director_deemond D.O.P 🤍thepabibble Visual; 🤍rango Grip; 🤍Ellypump All Under; 🤍Gwaphoto_production Dressed by 🤍_mkboy and Godbless . Watch and Subscribe on 🤍t_gwan youtube chanel now... Link; 🤍 #2020KaziKwaUhakika #TUSONGE
The view at Makambako bus station on Thursday, 20 October 2016.
#makambako #magufuli #eddytz
Kwaya ya upendo makambako ikiongoza watu kwenye kuchemka huko makete
Wasiliana nasi kupitia 0719 000 689 Ili upate kurekodi audios na videos saaaaaafiiiii.Pia Tunafundisha Nyimboo,Sauti,Styles na Mziki.Pamoja na kutengeneza Biti
Makambako jogoo kwaya furahini filipi 4:4 ikimtumikia MUNGU kwa njia ya uibajii usisahau kusubscribe na kucomment ili uwe wakwanza kupata habari zetu motomoto
Kwaya ya furahini makambako wimbo nitakukimbilia wewe uonaye mateso yangu! Maana wewe ndiwe ngome na roho yangu
Dhambi zilipozidi katika miji ya Sodoma na Gomora Mungu aliamua kutEketeza ka moto